Zaburi 22:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Usikae mbali nami, kwa maana taabu iko karibu+Nami sina msaidizi mwingine.+ Zaburi 35:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ee Yehova, umeona jambo hilo. Usinyamaze.+ Ee Yehova, usikae mbali nami.+ Zaburi 38:21, 22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Usiniache, Ee Yehova. Ee Mungu, usiendelee kukaa mbali nami.+ 22 Njoo haraka unisaidie,Ee Yehova, wokovu wangu.+
21 Usiniache, Ee Yehova. Ee Mungu, usiendelee kukaa mbali nami.+ 22 Njoo haraka unisaidie,Ee Yehova, wokovu wangu.+