Zaburi 25:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Njia zote za Yehova ni upendo mshikamanifu na uaminifuKwa wale wanaoshika agano lake+ na vikumbusho vyake.+ Zaburi 108:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana upendo wako mshikamanifu ni mkubwa, uko juu kama mbingu,+Na uaminifu wako, unafika mpaka angani. Zaburi 146:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Muumba wa mbingu na dunia,Wa bahari, na vyote vilivyomo,+Yeye ambaye ni mwaminifu daima,+
10 Njia zote za Yehova ni upendo mshikamanifu na uaminifuKwa wale wanaoshika agano lake+ na vikumbusho vyake.+
4 Kwa maana upendo wako mshikamanifu ni mkubwa, uko juu kama mbingu,+Na uaminifu wako, unafika mpaka angani.