Matendo 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Waliposikia hayo, wote kwa pamoja wakasali kwa Mungu wakisema kwa sauti kubwa: “Bwana Mwenye Enzi Kuu, wewe Ndiye uliyeumba mbingu, dunia, bahari, na vitu vyote vilivyomo,+ Ufunuo 14:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Alikuwa akisema kwa sauti kubwa: “Mwogopeni Mungu na kumpa utukufu, kwa sababu saa ya hukumu yake imefika,+ kwa hiyo mwabuduni Yule aliyeziumba mbingu na dunia na bahari+ na chemchemi za maji.”*
24 Waliposikia hayo, wote kwa pamoja wakasali kwa Mungu wakisema kwa sauti kubwa: “Bwana Mwenye Enzi Kuu, wewe Ndiye uliyeumba mbingu, dunia, bahari, na vitu vyote vilivyomo,+
7 Alikuwa akisema kwa sauti kubwa: “Mwogopeni Mungu na kumpa utukufu, kwa sababu saa ya hukumu yake imefika,+ kwa hiyo mwabuduni Yule aliyeziumba mbingu na dunia na bahari+ na chemchemi za maji.”*