Ayubu 21:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa nini waovu wanaendelea kuishi,+Wanazeeka, na kutajirika?*+ Yeremia 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wewe ni mwadilifu, Ee Yehova,+ ninapokuletea malalamishi yangu,Ninapozungumza nawe kuhusu mambo ya haki. Lakini kwa nini njia ya waovu imefanikiwa,+Na kwa nini watu wenye hila hawana wasiwasi?
12 Wewe ni mwadilifu, Ee Yehova,+ ninapokuletea malalamishi yangu,Ninapozungumza nawe kuhusu mambo ya haki. Lakini kwa nini njia ya waovu imefanikiwa,+Na kwa nini watu wenye hila hawana wasiwasi?