Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mahema ya wezi yana amani,+

      Na wale wanaomkasirisha Mungu wako salama,+

      Wale wanaobeba mungu wao mikononi mwao.

  • Zaburi 37:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Nyamaza mbele za Yehova+

      Na umngojee kwa matumaini.*

      Usikasirishwe na mtu

      Anayefanikiwa kutekeleza njama zake.+

  • Zaburi 73:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana niliwaonea wivu wenye kiburi*

      Nilipokuwa nikiona amani ya waovu.+

  • Zaburi 73:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naam, hivyo ndivyo walivyo waovu, ambao sikuzote wanastarehe.+

      Wanaendelea kuongeza mali zao.+

  • Yeremia 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wewe ni mwadilifu, Ee Yehova,+ ninapokuletea malalamishi yangu,

      Ninapozungumza nawe kuhusu mambo ya haki.

      Lakini kwa nini njia ya waovu imefanikiwa,+

      Na kwa nini watu wenye hila hawana wasiwasi?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki