Zaburi 37:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kaa kimya mbele za Yehova+Na kumngojea kwa kutamani.+Usijionyeshe umewaka hasira kwa sababu ya mtu yeyote anayeifanikisha njia yake,+Kwa sababu ya mtu anayetimiza mawazo yake.+ Zaburi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 37:7 w03 12/1 13 Zaburi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 37:7 Mnara wa Mlinzi,12/1/2003, uku. 13
7 Kaa kimya mbele za Yehova+Na kumngojea kwa kutamani.+Usijionyeshe umewaka hasira kwa sababu ya mtu yeyote anayeifanikisha njia yake,+Kwa sababu ya mtu anayetimiza mawazo yake.+