Ayubu 7:17, 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mwanadamu anayeweza kufa ni nini hivi kwamba umhangaikieNa kumkazia uangalifu?*+ 18 Kwa nini unamkagua kila asubuhiNa kumjaribu kila wakati?+
17 Mwanadamu anayeweza kufa ni nini hivi kwamba umhangaikieNa kumkazia uangalifu?*+ 18 Kwa nini unamkagua kila asubuhiNa kumjaribu kila wakati?+