Zaburi 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwanadamu anayeweza kufa ni nini hivi kwamba unamweka akilini,Na mwana wa mtu hivi kwamba unamtunza?+ Zaburi 103:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Siku za mwanadamu anayeweza kufa ni kama za majani;+Yeye huchanua kama ua la shambani.+ Zaburi 144:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, mwanadamu ni nini hata umtambue,Mwana wa mtu anayeweza kufa ni nini hata umkazie uangalifu?+
4 Mwanadamu anayeweza kufa ni nini hivi kwamba unamweka akilini,Na mwana wa mtu hivi kwamba unamtunza?+
3 Ee Yehova, mwanadamu ni nini hata umtambue,Mwana wa mtu anayeweza kufa ni nini hata umkazie uangalifu?+