Zaburi 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwanadamu anayeweza kufa ni nini hivi kwamba unamweka akilini,Na mwana wa mtu hivi kwamba unamtunza?+ Waebrania 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini mahali fulani shahidi mmoja alisema: “Mwanadamu ni nini hivi kwamba unamweka akilini, au mwana wa mtu hivi kwamba unamtunza?+
4 Mwanadamu anayeweza kufa ni nini hivi kwamba unamweka akilini,Na mwana wa mtu hivi kwamba unamtunza?+
6 Lakini mahali fulani shahidi mmoja alisema: “Mwanadamu ni nini hivi kwamba unamweka akilini, au mwana wa mtu hivi kwamba unamtunza?+