- 
	                        
            
            Ayubu 21:23Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
23 Kuna mtu anayekufa akiwa na nguvu zake zote+
Akiwa amestarehe kabisa na bila mahangaiko,+
- 
	                        
            
            Isaya 30:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
13 Kwa hiyo uovu huu utakuwa kwenu kama ukuta uliobomoka,
Kama ukuta mrefu uliofura unaokaribia kuanguka.
Utaanguka ghafla, mara moja.
 
 - 
                                        
 
 - 
	                        
            
            
 
 -