Zaburi 49:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana akifa hawezi kwenda na kitu chochote;+Fahari yake haitashuka shimoni pamoja naye.+ Luka 12:19, 20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 kisha nitajiambia:* “Una* vitu vingi vizuri ulivyokusanya kwa miaka mingi; starehe, ule, unywe, na ujifurahishe.”’ 20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Wewe mpumbavu, usiku huu wanautaka uhai wako.* Basi, vitu ulivyohifadhi vitakuwa vya nani?’+
19 kisha nitajiambia:* “Una* vitu vingi vizuri ulivyokusanya kwa miaka mingi; starehe, ule, unywe, na ujifurahishe.”’ 20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Wewe mpumbavu, usiku huu wanautaka uhai wako.* Basi, vitu ulivyohifadhi vitakuwa vya nani?’+