Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 89:50, 51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Kumbuka, Ee Yehova, dhihaka ambazo watumishi wako wanavurumishiwa;

      Jinsi ninavyolazimika kuvumilia* dhihaka za mataifa yote;

      51 Jinsi ambavyo maadui wako wamevurumisha matusi, Ee Yehova;

      Jinsi ambavyo wameitukana kila hatua ya mtiwa-mafuta wako.

  • Isaya 52:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 “Basi nifanye nini hapa?” auliza Yehova.

      “Kwa maana watu wangu walichukuliwa bila malipo.

      Wale wanaowatawala wanaendelea kupiga mayowe ya ushindi,”+ asema Yehova,

      “Na daima, mchana kutwa, jina langu linavunjiwa heshima.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki