Zaburi 74:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wakumbuke watu uliojipatia* zamani za kale,+Kabila ulilokomboa liwe urithi wako.+ Ukumbuke Mlima Sayuni, mahali unapokaa.+ Zaburi 132:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana Yehova amelichagua Sayuni;+Amelitamani liwe makao yake:+ Zaburi 135:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yehova na asifiwe kutoka Sayuni,+Yeye anayekaa Yerusalemu.+ Msifuni Yah!+
2 Wakumbuke watu uliojipatia* zamani za kale,+Kabila ulilokomboa liwe urithi wako.+ Ukumbuke Mlima Sayuni, mahali unapokaa.+