Isaya 31:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Mwashuru atauawa kwa upanga, lakini si wa mwanadamu;+Na upanga, usio wa mwanadamu, utamwangamiza. Atakimbia kwa sababu ya upanga,Na wanaume wake vijana watalazimishwa kufanya kazi za kulazimishwa. Isaya 37:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Na malaika wa Yehova akaenda na kuwaua wanaume 185,000 katika kambi ya Waashuru. Watu walipoamka asubuhi na mapema, waliona maiti zote hizo.+
8 Na Mwashuru atauawa kwa upanga, lakini si wa mwanadamu;+Na upanga, usio wa mwanadamu, utamwangamiza. Atakimbia kwa sababu ya upanga,Na wanaume wake vijana watalazimishwa kufanya kazi za kulazimishwa.
36 Na malaika wa Yehova akaenda na kuwaua wanaume 185,000 katika kambi ya Waashuru. Watu walipoamka asubuhi na mapema, waliona maiti zote hizo.+