Yeremia 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu. Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme wa milele.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatetemeka,+Na hakuna taifa litakalostahimili shutuma yake. Nahumu 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ni nani anayeweza kusimama mbele ya hasira yake kali?+ Na ni nani anayeweza kustahimili joto la hasira yake?+ Ghadhabu yake itamwagwa kama moto,Na miamba itavunjika-vunjika kwa sababu yake.
10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu. Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme wa milele.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatetemeka,+Na hakuna taifa litakalostahimili shutuma yake.
6 Ni nani anayeweza kusimama mbele ya hasira yake kali?+ Na ni nani anayeweza kustahimili joto la hasira yake?+ Ghadhabu yake itamwagwa kama moto,Na miamba itavunjika-vunjika kwa sababu yake.