Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 147:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Yehova huwainua wapole,+

      Lakini huwatupa chini waovu.

  • Methali 3:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kwa maana yeye huwadhihaki wale wanaodhihaki,+

      Lakini huwaonyesha kibali wapole.+

  • Sefania 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole* wa dunia,

      Mnaoshika amri zake za uadilifu.*

      Utafuteni uadilifu, utafuteni upole.*

      Huenda* mtafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki