Zaburi 147:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova huwainua wapole,+Lakini huwatupa chini waovu. Methali 3:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kwa maana yeye huwadhihaki wale wanaodhihaki,+Lakini huwaonyesha kibali wapole.+ Sefania 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole* wa dunia,Mnaoshika amri zake za uadilifu.* Utafuteni uadilifu, utafuteni upole.* Huenda* mtafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+
3 Mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole* wa dunia,Mnaoshika amri zake za uadilifu.* Utafuteni uadilifu, utafuteni upole.* Huenda* mtafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+