Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 16:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yehova amefanya kila kitu kitimize kusudi lake,

      Hata waovu kwa ajili ya siku ya msiba.+

  • Danieli 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ndipo Nebukadneza akawakasirikia vikali Shadraki, Meshaki, na Abednego hivi kwamba sura yake ikabadilika * kuwaelekea, akaagiza tanuru liongezwe moto mara saba kuliko kawaida.⁠

  • Danieli 3:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Ndipo Nebukadneza akatangaza hivi: “Na asifiwe Mungu wa Shadraki, Meshaki, na Abednego,+ aliyemtuma malaika wake na kuwaokoa watumishi wake. Walimtegemea yeye na kutenda kinyume cha amri ya mfalme na walikuwa tayari kufa* badala ya kumtumikia au kumwabudu mungu mwingine yeyote isipokuwa Mungu wao wenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki