-
Danieli 3:28Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
28 Ndipo Nebukadneza akatangaza hivi: “Na asifiwe Mungu wa Shadraki, Meshaki, na Abednego,+ aliyemtuma malaika wake na kuwaokoa watumishi wake. Walimtegemea yeye na kutenda kinyume cha amri ya mfalme na walikuwa tayari kufa* badala ya kumtumikia au kumwabudu mungu mwingine yeyote isipokuwa Mungu wao wenyewe.+
-