Zaburi 42:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa nini nimesononeka?+ Kwa nini msukosuko huu umo ndani yangu? Mngojee Mungu,+Kwa maana bado nitamsifu kwa kuwa yeye ni Mwokozi wangu Mtukufu.+
5 Kwa nini nimesononeka?+ Kwa nini msukosuko huu umo ndani yangu? Mngojee Mungu,+Kwa maana bado nitamsifu kwa kuwa yeye ni Mwokozi wangu Mtukufu.+