Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini nimekuacha uendelee kuishi kwa sababu hii hasa: ili nikuonyeshe nguvu zangu na ili jina langu litangazwe katika dunia yote.+

  • Isaya 52:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yehova ameufunua wazi mkono wake mtakatifu mbele ya macho ya mataifa yote;+

      Miisho yote ya dunia itayaona matendo ya wokovu ya* Mungu wetu.+

  • Danieli 3:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kwa hiyo ninaagiza kwamba watu wa kabila lolote, taifa, au lugha ambao watasema jambo lolote dhidi ya Mungu wa Shadraki, Meshaki, na Abednego, wanapaswa kukatwa vipandevipande, na nyumba zao zinapaswa kugeuzwa kuwa vyoo vya umma;* kwa maana hakuna mungu mwingine yeyote anayeweza kuokoa kama huyu.”+

  • Danieli 6:26, 27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ninatoa agizo kwamba katika kila eneo la ufalme wangu, watu wanapaswa kutetemeka kwa woga mbele za Mungu wa Danieli.+ Kwa maana yeye ndiye Mungu aliye hai naye huishi milele. Ufalme wake hautaangamizwa kamwe, na utawala wake ni wa* milele.+ 27 Yeye huokoa,+ naye hufanya ishara na maajabu mbinguni na duniani,+ kwa sababu alimwokoa Danieli kutoka katika makucha ya simba.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki