Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mlimsahau Mwamba,+ baba yenu aliyewazaa,

      Nanyi hamkumkumbuka Mungu aliyewazaa.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 13:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Sasa tazama! Mungu wa kweli yuko pamoja nasi, akituongoza, na makuhani wake wakiwa na tarumbeta za kutoa ishara ya vita dhidi yenu. Enyi wanaume wa Israeli, msipigane na Yehova Mungu wa mababu zenu, kwa maana hamtafanikiwa.”+

  • Yeremia 2:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Je, bikira anaweza kuyasahau mapambo yake,

      Na bibi harusi mavazi yake ya kifuani?*

      Lakini watu wangu wamenisahau mimi kwa siku zisizohesabika.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki