Zaburi 106:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Walimsahau Mungu+ Mwokozi wao,Aliyetenda mambo makuu nchini Misri,+ Isaya 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana umemsahau Mungu+ wa wokovu wako;Hukumkumbuka Mwamba+ wa ngome yako. Ndiyo sababu unapanda mashamba makubwa maridadi*Na kupanda humo chipukizi la mgeni.* Yeremia 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini watu wangu wamenisahau.+ Kwa maana wanakitolea dhabihu* kitu cha ubatili,+Nao wanawafanya watu wajikwae katika njia zao, vijia vya kale,+Ili wapite kwenye barabara za vichochoroni ambazo hazijasawazishwa na ambazo si tambarare,* Hosea 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Waisraeli wamemsahau Muumba wao+ na kujenga mahekalu,+Na watu wa Yuda wamezidisha majiji yenye ngome.+ Lakini nitashusha moto kwenye majiji yao,Nao utateketeza minara iliyo katika kila jiji.”+ Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025) Toka Ingia Kiswahili Shiriki Mapendezi Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania Masharti ya Utumiaji Sera ya Faragha Mpangilio wa Faragha JW.ORG Ingia Shiriki Shiriki Kupitia Barua-pepe
21 Walimsahau Mungu+ Mwokozi wao,Aliyetenda mambo makuu nchini Misri,+ Isaya 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana umemsahau Mungu+ wa wokovu wako;Hukumkumbuka Mwamba+ wa ngome yako. Ndiyo sababu unapanda mashamba makubwa maridadi*Na kupanda humo chipukizi la mgeni.* Yeremia 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini watu wangu wamenisahau.+ Kwa maana wanakitolea dhabihu* kitu cha ubatili,+Nao wanawafanya watu wajikwae katika njia zao, vijia vya kale,+Ili wapite kwenye barabara za vichochoroni ambazo hazijasawazishwa na ambazo si tambarare,* Hosea 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Waisraeli wamemsahau Muumba wao+ na kujenga mahekalu,+Na watu wa Yuda wamezidisha majiji yenye ngome.+ Lakini nitashusha moto kwenye majiji yao,Nao utateketeza minara iliyo katika kila jiji.”+
10 Kwa maana umemsahau Mungu+ wa wokovu wako;Hukumkumbuka Mwamba+ wa ngome yako. Ndiyo sababu unapanda mashamba makubwa maridadi*Na kupanda humo chipukizi la mgeni.*
15 Lakini watu wangu wamenisahau.+ Kwa maana wanakitolea dhabihu* kitu cha ubatili,+Nao wanawafanya watu wajikwae katika njia zao, vijia vya kale,+Ili wapite kwenye barabara za vichochoroni ambazo hazijasawazishwa na ambazo si tambarare,* Hosea 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Waisraeli wamemsahau Muumba wao+ na kujenga mahekalu,+Na watu wa Yuda wamezidisha majiji yenye ngome.+ Lakini nitashusha moto kwenye majiji yao,Nao utateketeza minara iliyo katika kila jiji.”+
14 Waisraeli wamemsahau Muumba wao+ na kujenga mahekalu,+Na watu wa Yuda wamezidisha majiji yenye ngome.+ Lakini nitashusha moto kwenye majiji yao,Nao utateketeza minara iliyo katika kila jiji.”+