Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 106:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Walimsahau Mungu+ Mwokozi wao,

      Aliyetenda mambo makuu nchini Misri,+

  • Isaya 17:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana umemsahau Mungu+ wa wokovu wako;

      Hukumkumbuka Mwamba+ wa ngome yako.

      Ndiyo sababu unapanda mashamba makubwa maridadi*

      Na kupanda humo chipukizi la mgeni.*

  • Yeremia 18:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Lakini watu wangu wamenisahau.+

      Kwa maana wanakitolea dhabihu* kitu cha ubatili,+

      Nao wanawafanya watu wajikwae katika njia zao, vijia vya kale,+

      Ili wapite kwenye barabara za vichochoroni ambazo hazijasawazishwa na ambazo si tambarare,*

  • Hosea 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Waisraeli wamemsahau Muumba wao+ na kujenga mahekalu,+

      Na watu wa Yuda wamezidisha majiji yenye ngome.+

      Lakini nitashusha moto kwenye majiji yao,

      Nao utateketeza minara iliyo katika kila jiji.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki