Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 18:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Katika mwaka wa 14 wa utawala wa Mfalme Hezekia, Senakeribu mfalme wa Ashuru+ alipanda kuja kuyashambulia majiji yote yenye ngome ya Yuda na kuyateka.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo akamleta mfalme wa Wakaldayo awashambulie,+ ambaye aliwaua wanaume wao vijana kwa upanga+ katika nyumba ya mahali pao patakatifu;+ hakumhurumia kijana wa kiume wala bikira, mzee wala aliye dhaifu.+ Mungu alitia kila kitu mikononi mwake.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Aliiteketeza kabisa nyumba ya Mungu wa kweli,+ akaubomoa ukuta wa Yerusalemu,+ akateketeza kwa moto minara yake yote yenye ngome, na kuharibu kila kitu chenye thamani.+

  • Yeremia 17:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “‘“Lakini msiponitii kwa kutoshika siku ya Sabato ikiwa siku takatifu na mkibeba mizigo na kuileta kupitia malango ya Yerusalemu katika siku ya Sabato, nitayawasha moto malango yake, nao hakika utaiteketeza minara yenye ngome ya Yerusalemu+ nao hautazimwa.”’”+

  • Yeremia 34:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 majeshi ya mfalme wa Babiloni yalipokuwa yakishambulia Yerusalemu na majiji yote ya Yuda yaliyobaki,+ yakishambulia Lakishi+ na Azeka;+ kwa maana hayo ndiyo majiji pekee ya Yuda yenye ngome yaliyobaki.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki