Mambo ya Walawi 26:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Nitayaangamiza majiji yenu kwa upanga+ na kuharibu mahali penu patakatifu, nami sitasikia harufu inayopendeza* ya dhabihu zenu. Kumbukumbu la Torati 28:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yehova atafanya mshindwe mbele ya maadui wenu.+ Mtawashambulia kutoka upande mmoja, lakini mtawakimbia mkielekea pande saba tofauti; nanyi mtakuwa kitu cha kutisha kwa falme zote za dunia.+ Zaburi 79:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wamewapa ndege wa angani maiti za watumishi wako kuwa chakula chaoNa miili ya washikamanifu wako wamewapa wanyama wa mwituni wa dunia.+
31 Nitayaangamiza majiji yenu kwa upanga+ na kuharibu mahali penu patakatifu, nami sitasikia harufu inayopendeza* ya dhabihu zenu.
25 Yehova atafanya mshindwe mbele ya maadui wenu.+ Mtawashambulia kutoka upande mmoja, lakini mtawakimbia mkielekea pande saba tofauti; nanyi mtakuwa kitu cha kutisha kwa falme zote za dunia.+
2 Wamewapa ndege wa angani maiti za watumishi wako kuwa chakula chaoNa miili ya washikamanifu wako wamewapa wanyama wa mwituni wa dunia.+