Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Akateketeza kabisa nyumba ya Yehova,+ nyumba ya mfalme,*+ na nyumba zote Yerusalemu;+ aliteketeza pia nyumba ya kila mtu maarufu.+ 10 Na jeshi lote la Wakaldayo lililokuwa pamoja na mkuu wa walinzi lilibomoa kuta zilizozunguka Yerusalemu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo akamleta mfalme wa Wakaldayo awashambulie,+ ambaye aliwaua wanaume wao vijana kwa upanga+ katika nyumba ya mahali pao patakatifu;+ hakumhurumia kijana wa kiume wala bikira, mzee wala aliye dhaifu.+ Mungu alitia kila kitu mikononi mwake.+

  • Nehemia 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kisha nikamwambia mfalme: “Mfalme na aishi muda mrefu! Kwa nini nisiwe na huzuni wakati lile jiji, mahali ambapo mababu zangu wamezikwa ni magofu, na malango yake yameteketezwa kwa moto?”+

  • Isaya 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Nchi yenu ni ukiwa.

      Majiji yenu yameteketezwa kwa moto.

      Wageni wanaila nchi yenu mbele ya macho yenu.+

      Ni kama nchi iliyo ukiwa iliyoharibiwa kabisa na wageni.+

  • Yeremia 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Ametokea kama simba kutoka kwenye kichaka chake;+

      Yule anayeyaangamiza mataifa ametoka.+

      Ametoka mahali pake ili kuifanya nchi yako kuwa kitu cha kutisha.

      Majiji yako yatakuwa magofu, bila mkaaji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki