Ezekieli 26:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Ninamleta Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni dhidi ya Tiro kutoka kaskazini;+ yeye ni mfalme wa wafalme,+ akiwa na farasi,+ magari ya vita,+ wapanda farasi, na jeshi lenye wanajeshi* wengi.
7 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Ninamleta Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni dhidi ya Tiro kutoka kaskazini;+ yeye ni mfalme wa wafalme,+ akiwa na farasi,+ magari ya vita,+ wapanda farasi, na jeshi lenye wanajeshi* wengi.