-
Nehemia 1:2, 3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Wakati huo Hanani,+ mmoja wa ndugu zangu, akaja pamoja na watu wengine kutoka Yuda, nami nikawauliza kuhusu Wayahudi waliobaki walioponyoka kutoka utekwani,+ na pia kuhusu Yerusalemu. 3 Wakanijibu: “Wale waliobaki na kuponyoka utekwani ambao wamebaki katika mkoa* ule wako katika hali mbaya sana na yenye kuaibisha.+ Kuta za Yerusalemu zimebomolewa,+ na malango yake yameteketezwa kwa moto.”+
-