- 
	                        
            
            Nehemia 1:2, 3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
2 Wakati huo Hanani,+ mmoja wa ndugu zangu, akaja pamoja na watu wengine kutoka Yuda, nami nikawauliza kuhusu Wayahudi waliobaki walioponyoka kutoka utekwani,+ na pia kuhusu Yerusalemu. 3 Wakanijibu: “Wale waliobaki na kuponyoka utekwani ambao wamebaki katika mkoa* ule wako katika hali mbaya sana na yenye kuaibisha.+ Kuta za Yerusalemu zimebomolewa,+ na malango yake yameteketezwa kwa moto.”+
 
 -