3 “‘Nami nitawaletea misiba minne,’*+ asema Yehova, ‘upanga ili kuua, mbwa ili kukokota, na ndege wa angani na wanyama wa duniani ili kula na kuharibu.+
20 Nitawatia mikononi mwa maadui wao na mikononi mwa wale wanaotaka kuwaua,* na maiti zao zitakuwa chakula cha ndege wa angani na cha wanyama wa dunia.+