Zaburi 50:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Tafadhali, zingatieni jambo hili, ninyi mnaomsahau Mungu,+Nisije nikawararua vipandevipande asiwepo yeyote wa kuwaokoa. Hosea 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Waisraeli wamemsahau Muumba wao+ na kujenga mahekalu,+Na watu wa Yuda wamezidisha majiji yenye ngome.+ Lakini nitashusha moto kwenye majiji yao,Nao utateketeza minara iliyo katika kila jiji.”+
22 Tafadhali, zingatieni jambo hili, ninyi mnaomsahau Mungu,+Nisije nikawararua vipandevipande asiwepo yeyote wa kuwaokoa.
14 Waisraeli wamemsahau Muumba wao+ na kujenga mahekalu,+Na watu wa Yuda wamezidisha majiji yenye ngome.+ Lakini nitashusha moto kwenye majiji yao,Nao utateketeza minara iliyo katika kila jiji.”+