Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 9:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Waovu watageuka na kuelekea Kaburini,*

      Mataifa yote yanayomsahau Mungu.

  • Yeremia 2:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Je, bikira anaweza kuyasahau mapambo yake,

      Na bibi harusi mavazi yake ya kifuani?*

      Lakini watu wangu wamenisahau mimi kwa siku zisizohesabika.+

  • Hosea 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Watu wangu watanyamazishwa,* kwa sababu hawana ujuzi.

      Kwa sababu mmekataa ujuzi,+

      Nitawakataa pia msinitumikie mkiwa makuhani wangu;

      Na kwa sababu mmesahau sheria* ya Mungu wenu,+

      Mimi mwenyewe nitawasahau wana wenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki