Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 9:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Halafu nikachukua kile kitu cha dhambi mlichokitengeneza, yule ndama,+ na kumteketeza kwa moto; nikamponda na kumsagasaga kabisa mpaka akawa laini kama mavumbi, nami nikayatupa mavumbi hayo katika kijito kinachotiririka kutoka mlimani.+

      22 “Pia, mlimkasirisha Yehova kule Tabera,+ kule Masa,+ na Kibroth-hataava.+

  • Zaburi 95:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Msiufanye moyo wenu kuwa mgumu kama mlivyofanya kule Meriba,*+

      Kama katika siku ya Masa* kule nyikani,+

  • Waebrania 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana ni nani waliosikia na bado wakamchochea kuwa na hasira kali? Kwa kweli, je, si wale wote waliotoka Misri chini ya Musa?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki