19 Hamtaila kwa siku moja tu, au siku 2, au siku 5, au siku 10, au hata siku 20, 20 bali kwa mwezi mzima, mpaka itakapotokea kwenye mianzi ya pua zenu na kuwachukiza,+ kwa sababu mlimkataa Yehova aliye kati yenu, nanyi mlilia mbele zake mkisema: “Kwa nini tumetoka Misri?”’”+