-
Zaburi 95:10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Kwa miaka 40 nilichukizwa na kizazi hicho, nikasema:
“Wao ni watu wanaopotoka sikuzote katika mioyo yao;
Hawajazijua njia zangu.”
-
-
Waebrania 3:10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Ndiyo sababu nilichukizwa na kizazi hiki, nikasema: ‘Wao hupotoka sikuzote katika mioyo yao, nao hawazijui njia zangu.’
-