- 
	                        
            
            Zaburi 95:10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
10 Kwa miaka 40 nilichukizwa na kizazi hicho, nikasema:
“Wao ni watu wanaopotoka sikuzote katika mioyo yao;
Hawajazijua njia zangu.”
 
 - 
                                        
 
- 
	                        
            
            Waebrania 3:10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
10 Ndiyo sababu nilichukizwa na kizazi hiki, nikasema: ‘Wao hupotoka sikuzote katika mioyo yao, nao hawazijui njia zangu.’
 
 -