Isaya 63:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini waliasi+ na kuihuzunisha roho yake takatifu.+ Naye akageuka na kuwa adui yao,+Naye akawapiga vita.+ Waefeso 4:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Pia, msiwe mkiihuzunisha roho takatifu ya Mungu,+ ambayo kupitia hiyo mmetiwa muhuri+ kwa ajili ya siku ambayo mtawekwa huru kupitia fidia.+ Waebrania 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana ni nani waliosikia na bado wakamchochea kuwa na hasira kali? Kwa kweli, je, si wale wote waliotoka Misri chini ya Musa?+
10 Lakini waliasi+ na kuihuzunisha roho yake takatifu.+ Naye akageuka na kuwa adui yao,+Naye akawapiga vita.+
30 Pia, msiwe mkiihuzunisha roho takatifu ya Mungu,+ ambayo kupitia hiyo mmetiwa muhuri+ kwa ajili ya siku ambayo mtawekwa huru kupitia fidia.+
16 Kwa maana ni nani waliosikia na bado wakamchochea kuwa na hasira kali? Kwa kweli, je, si wale wote waliotoka Misri chini ya Musa?+