Hesabu 14:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hata hivyo, hakuna mtu hata mmoja aliyeona utukufu wangu na miujiza+ niliyofanya nchini Misri na nyikani ambaye bado ananijaribu+ mara hizi kumi na kukataa kusikiliza sauti yangu+ Kumbukumbu la Torati 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Msimjaribu Yehova Mungu wenu kama mlivyomjaribu+ kule Masa.+ Zaburi 95:8, 9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Msiufanye moyo wenu kuwa mgumu kama mlivyofanya kule Meriba,*+Kama katika siku ya Masa* kule nyikani,+ 9 Mababu zenu waliponijaribu;+Walinipima, ingawa walikuwa wameona matendo yangu.+
22 Hata hivyo, hakuna mtu hata mmoja aliyeona utukufu wangu na miujiza+ niliyofanya nchini Misri na nyikani ambaye bado ananijaribu+ mara hizi kumi na kukataa kusikiliza sauti yangu+
8 Msiufanye moyo wenu kuwa mgumu kama mlivyofanya kule Meriba,*+Kama katika siku ya Masa* kule nyikani,+ 9 Mababu zenu waliponijaribu;+Walinipima, ingawa walikuwa wameona matendo yangu.+