2 Basi watu wakaanza kugombana na Musa+ wakisema: “Tupe maji ya kunywa!” Lakini Musa akawauliza: “Kwa nini mnagombana nami? Kwa nini mnaendelea kumjaribu Yehova?”+
7 Basi akapaita mahali hapo Masa*+ na Meriba,*+ kwa sababu ya ugomvi wa Waisraeli na kwa sababu walimjaribu+ Yehova kwa kusema: “Je, Yehova yuko katikati yetu au la?”
8 msiifanye mioyo yenu kuwa migumu kama ule wakati wa kusababisha hasira kali, kama siku ile ya jaribu nyikani,+9 ambayo mababu zenu waliniweka kwenye jaribu, na kunipima, ingawa waliona matendo yangu kwa miaka 40.+