Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 17:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi watu wakaanza kugombana na Musa+ wakisema: “Tupe maji ya kunywa!” Lakini Musa akawauliza: “Kwa nini mnagombana nami? Kwa nini mnaendelea kumjaribu Yehova?”+

  • Kutoka 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi akapaita mahali hapo Masa*+ na Meriba,*+ kwa sababu ya ugomvi wa Waisraeli na kwa sababu walimjaribu+ Yehova kwa kusema: “Je, Yehova yuko katikati yetu au la?”

  • Zaburi 95:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Msiufanye moyo wenu kuwa mgumu kama mlivyofanya kule Meriba,*+

      Kama katika siku ya Masa* kule nyikani,+

       9 Mababu zenu waliponijaribu;+

      Walinipima, ingawa walikuwa wameona matendo yangu.+

  • Waebrania 3:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 msiifanye mioyo yenu kuwa migumu kama ule wakati wa kusababisha hasira kali, kama siku ile ya jaribu nyikani,+ 9 ambayo mababu zenu waliniweka kwenye jaribu, na kunipima, ingawa waliona matendo yangu kwa miaka 40.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki