Kutoka 14:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo ikaja kati ya kambi ya Wamisri na kambi ya Waisraeli.+ Upande mmoja, wingu hilo lilikuwa giza. Upande mwingine, uliangaza usiku.+ Hivyo, kambi ya Wamisri haikuikaribia kambi ya Waisraeli usiku kucha. Waebrania 11:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa imani walipita katika Bahari Nyekundu kama kwenye nchi kavu,+ lakini Wamisri walipojaribu kupita wakamezwa.+
20 Kwa hiyo ikaja kati ya kambi ya Wamisri na kambi ya Waisraeli.+ Upande mmoja, wingu hilo lilikuwa giza. Upande mwingine, uliangaza usiku.+ Hivyo, kambi ya Wamisri haikuikaribia kambi ya Waisraeli usiku kucha.
29 Kwa imani walipita katika Bahari Nyekundu kama kwenye nchi kavu,+ lakini Wamisri walipojaribu kupita wakamezwa.+