15 Waliendelea kukataa masharti yake na agano lake+ alilofanya na mababu zao na vikumbusho vyake alivyowapa ili kuwaonya,+ nao wakaendelea kufuata sanamu za ubatili,+ na wao wenyewe wakawa ubatili,+ wakiiga mataifa yaliyowazunguka pande zote ambayo Yehova alikuwa amewaamuru wasiyaige.+
23 Ni kwa sababu mmetoa dhabihu hizi na kwa sababu mmemtendea dhambi Yehova, kwa kutotii sauti ya Yehova na kutofuata sheria yake, amri zake, na vikumbusho vyake, ndiyo sababu msiba huu umewapata, kama ilivyo leo.”+