Yeremia 44:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa sababu mlifukiza moshi wa dhabihu,+ mkamtendea dhambi Yehova,+ hamkuitii sauti ya Yehova+ nanyi hamkutembea katika sheria yake+ na katika kanuni zake na katika vikumbusho vyake, ndiyo sababu msiba huu umewapata ninyi kama ilivyo leo hii.”+
23 Kwa sababu mlifukiza moshi wa dhabihu,+ mkamtendea dhambi Yehova,+ hamkuitii sauti ya Yehova+ nanyi hamkutembea katika sheria yake+ na katika kanuni zake na katika vikumbusho vyake, ndiyo sababu msiba huu umewapata ninyi kama ilivyo leo hii.”+