2 Mambo ya Nyakati 36:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini waliendelea kuwadhihaki+ wale wajumbe wa Mungu wa kweli na kuyadharau maneno+ yake na kuwafanyia mzaha+ manabii wake, mpaka ghadhabu+ ya Yehova ikapanda juu ya watu wake, mpaka kukawa hakuna kuponywa.+ Yeremia 44:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini hawakusikiliza,+ wala hawakutega sikio lao ili kurudi kutoka katika ubaya wao kwa kutoifukizia miungu mingine moshi wa dhabihu.+
16 Lakini waliendelea kuwadhihaki+ wale wajumbe wa Mungu wa kweli na kuyadharau maneno+ yake na kuwafanyia mzaha+ manabii wake, mpaka ghadhabu+ ya Yehova ikapanda juu ya watu wake, mpaka kukawa hakuna kuponywa.+
5 Lakini hawakusikiliza,+ wala hawakutega sikio lao ili kurudi kutoka katika ubaya wao kwa kutoifukizia miungu mingine moshi wa dhabihu.+