Hosea 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Walibadili njia yao, lakini hawakufuata chochote kilichokwezwa;*Walikuwa wasiotegemeka kama upinde uliolegea.+ Wakuu wao wataangamizwa kwa upanga kwa sababu ya ndimi zao za ukaidi. Kwa sababu hiyo watadhihakiwa katika nchi ya Misri.”+
16 Walibadili njia yao, lakini hawakufuata chochote kilichokwezwa;*Walikuwa wasiotegemeka kama upinde uliolegea.+ Wakuu wao wataangamizwa kwa upanga kwa sababu ya ndimi zao za ukaidi. Kwa sababu hiyo watadhihakiwa katika nchi ya Misri.”+