Yeremia 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Yehova anasema hivi dhidi ya majirani wangu wote waovu, wanaogusa urithi niliowamilikisha watu wangu Waisraeli:+ “Tazama, ninawang’oa kutoka kwenye nchi yao,+ nami nitawang’oa watu wa nyumba ya Yuda kutoka kati yao.
14 Yehova anasema hivi dhidi ya majirani wangu wote waovu, wanaogusa urithi niliowamilikisha watu wangu Waisraeli:+ “Tazama, ninawang’oa kutoka kwenye nchi yao,+ nami nitawang’oa watu wa nyumba ya Yuda kutoka kati yao.