Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 79:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Tumekuwa kitu cha kushutumiwa na majirani wetu;+

      Wale wanaotuzunguka wanatudhihaki na kutufanyia mzaha.

  • Yeremia 48:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 ‘Mlewesheni,+ kwa maana amejikweza dhidi ya Yehova.+

      Moabu anagaagaa katika matapishi yake,

      Naye ni kitu cha kudhihakiwa.

  • Ezekieli 25:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Unapaswa kusema hivi kuhusu Waamoni, ‘Sikieni neno la Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Kwa sababu ulisema ‘Aha!’ dhidi ya mahali pangu patakatifu wakati palipotiwa unajisi, na dhidi ya nchi ya Israeli ilipofanywa ukiwa, na dhidi ya watu wa nyumba ya Yuda, walipopelekwa uhamishoni,

  • Zekaria 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa hasira kali nimeyakasirikia mataifa yanayostarehe,+ kwa sababu niliwakasirikia kidogo watu wangu,+ lakini yalizidisha msiba wao.”’+

  • Zekaria 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa maana hivi ndivyo anavyosema Yehova wa majeshi, ambaye baada ya kutukuzwa* amenituma kwa mataifa yaliyokuwa yakiwapora ninyi:+ ‘Yeyote anayewagusa ninyi anaigusa mboni ya jicho langu.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki