Zaburi 137:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kumbuka, Ee Yehova,Mambo ambayo Waedomu walisema siku ambayo Yerusalemu lilianguka: “Libomoeni! Libomoeni mpaka kwenye misingi yake!”+ Isaya 47:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nilikuwa na ghadhabu kuwaelekea watu wangu.+ Niliutia unajisi urithi wangu,+Nami nikawatia mkononi mwako.+ Lakini hukuwaonyesha rehema.+ Hata juu ya wazee uliweka nira nzito.+ Yeremia 51:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 ‘Babiloni na alipizwe kwa sababu ya ukatili niliotendewa mimi na mwili wangu!’ asema mkaaji wa Sayuni.+ ‘Na wakaaji wa Ukaldayo na walipizwe kwa sababu ya damu yangu!’ asema Yerusalemu.”
7 Kumbuka, Ee Yehova,Mambo ambayo Waedomu walisema siku ambayo Yerusalemu lilianguka: “Libomoeni! Libomoeni mpaka kwenye misingi yake!”+
6 Nilikuwa na ghadhabu kuwaelekea watu wangu.+ Niliutia unajisi urithi wangu,+Nami nikawatia mkononi mwako.+ Lakini hukuwaonyesha rehema.+ Hata juu ya wazee uliweka nira nzito.+
35 ‘Babiloni na alipizwe kwa sababu ya ukatili niliotendewa mimi na mwili wangu!’ asema mkaaji wa Sayuni.+ ‘Na wakaaji wa Ukaldayo na walipizwe kwa sababu ya damu yangu!’ asema Yerusalemu.”