Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yehova Mungu wa mababu zao aliendelea kuwaonya kupitia wajumbe wake, aliwaonya tena na tena, kwa sababu aliwahurumia watu wake na makao yake. 16 Lakini waliendelea kuwadhihaki wajumbe wa Mungu wa kweli,+ wakadharau maneno yake+ na kuwakejeli manabii wake,+ mpaka ghadhabu ya Yehova ilipokuja dhidi ya watu wake,+ hivi kwamba hawangeweza kuponywa.

  • Isaya 42:24, 25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ni nani aliyemtia Yakobo mikononi mwa watekaji nyara

      Na Israeli mikononi mwa waporaji?

      Je, si Yehova, Yule ambaye tumemtendea dhambi?

      Walikataa kutembea katika njia Zake,

      Nao hawakutii sheria* Yake.+

      25 Basi Yeye akaendelea kummwagia ghadhabu,

      Hasira yake na ghadhabu ya vita.+

      Iliteketeza kila kitu kumzunguka, lakini hakulikazia jambo hilo fikira.+

      Iliwaka dhidi yake, lakini hakulitia jambo hilo moyoni.+

  • Zekaria 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa hasira kali nimeyakasirikia mataifa yanayostarehe,+ kwa sababu niliwakasirikia kidogo watu wangu,+ lakini yalizidisha msiba wao.”’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki