Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi wakamwacha Yehova, Mungu wa baba zao, aliyewatoa katika nchi ya Misri.+ Nao wakafuata miungu mingine, miungu ya watu waliowazunguka,+ wakaiinamia, na hivyo wakamkasirisha Yehova.+

  • Waamuzi 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya Waisraeli, akawatia mikononi mwa waporaji, nao wakapora mali zao.+ Akawatia* mikononi mwa maadui waliowazunguka+ wala hawakuweza tena kuwashinda maadui wao.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa muda mrefu* Waisraeli hawakuwa na Mungu wa kweli, hawakuwa na kuhani wa kuwafundisha, na hawakuwa na sheria.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 15:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Taifa lilikuwa likipondwa na taifa lingine na jiji likipondwa na jiji lingine, kwa sababu Mungu aliwavuruga kwa kila aina ya mateso.+

  • Zaburi 106:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Aliwatia tena na tena mikononi mwa mataifa,+

      Ili wale waliowachukia waweze kuwatawala.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki