Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa maana watu wa Yehova ni fungu lake;+

      Yakobo ni urithi wake.+

      10 Alimpata katika nchi yenye nyika+

      Na katika jangwa tupu, lenye milio.+

      Alimzunguka akimlinda, akamtunza,+

      Na kumlinda kama mboni ya jicho lake.+

  • Zaburi 105:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Hakumruhusu mtu yeyote awakandamize,+

      Lakini kwa sababu yao aliwakaripia wafalme,+

      15 Akisema, “Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,

      Wala msiwatendee manabii wangu jambo lolote baya.”+

  • 2 Wathesalonike 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hii inazingatia kwamba ni jambo la uadilifu kwa Mungu kuwalipa dhiki wale wanaowasababishia ninyi dhiki.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki