Kumbukumbu la Torati 32:9, 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana watu wa Yehova ni fungu lake;+Yakobo ni urithi wake.+ 10 Alimpata katika nchi yenye nyika+Na katika jangwa tupu, lenye milio.+ Alimzunguka akimlinda, akamtunza,+Na kumlinda kama mboni ya jicho lake.+ Zaburi 105:14, 15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Hakumruhusu mtu yeyote awakandamize,+Lakini kwa sababu yao aliwakaripia wafalme,+15 Akisema, “Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,Wala msiwatendee manabii wangu jambo lolote baya.”+ 2 Wathesalonike 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hii inazingatia kwamba ni jambo la uadilifu kwa Mungu kuwalipa dhiki wale wanaowasababishia ninyi dhiki.+
9 Kwa maana watu wa Yehova ni fungu lake;+Yakobo ni urithi wake.+ 10 Alimpata katika nchi yenye nyika+Na katika jangwa tupu, lenye milio.+ Alimzunguka akimlinda, akamtunza,+Na kumlinda kama mboni ya jicho lake.+
14 Hakumruhusu mtu yeyote awakandamize,+Lakini kwa sababu yao aliwakaripia wafalme,+15 Akisema, “Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,Wala msiwatendee manabii wangu jambo lolote baya.”+
6 Hii inazingatia kwamba ni jambo la uadilifu kwa Mungu kuwalipa dhiki wale wanaowasababishia ninyi dhiki.+