Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nitawafanya Wahivi, Wakanaani, na Wahiti wavunjike moyo* kabla hamjafika,+ nao watawakimbia.+

  • Kutoka 23:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nitawafukuza hatua kwa hatua kutoka mbele yenu, mpaka mtakapoongezeka na kuwa wengi na kuimiliki nchi hiyo.+

  • Yoshua 24:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi nikawafanya wavunjike moyo* kabla ya ninyi kufika, nao wakakimbia+—wafalme wawili wa Waamori. Hamkuwashinda kwa sababu ya upanga wenu wala upinde wenu.+ 13 Kwa hiyo niliwapa nchi ambayo hamkuipata kwa jasho lenu na majiji ambayo hamkujenga,+ nanyi mkakaa humo. Mnakula matunda ya mizabibu na ya mizeituni ambayo hamkupanda.’+

  • 1 Wafalme 4:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Watu wa Yuda na Israeli waliishi kwa usalama, kila mtu chini ya mzabibu wake mwenyewe na chini ya mtini wake mwenyewe, kuanzia Dani mpaka Beer-sheba, siku zote za Sulemani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki