Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Adui alisema, ‘Nitawafuatia! Nitawafikia!

      Nitagawanya nyara mpaka nitakapotosheka!

      Nitauchomoa upanga wangu! Mkono wangu utawatiisha!’+

      10 Ulipuliza bahari kwa pumzi yako, ikawafunika;+

      Walizama kama madini ya risasi katika maji makuu.

  • 1 Samweli 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Msiendelee kuzungumza kwa kiburi;

      Neno lolote la majivuno lisitoke vinywani mwenu,

      Kwa maana Yehova ni Mungu wa ujuzi,+

      Naye hupima matendo kwa njia ya haki.

  • Ezekieli 28:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, mwambie kiongozi wa Tiro, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi:

      “Kwa sababu moyo wako umekuwa na majivuno,+ unaendelea kusema, ‘Mimi ni mungu.

      Ninaketi kwenye kiti cha ufalme cha mungu katikati ya bahari.’+

      Lakini wewe ni mwanadamu tu, wewe si mungu,

      Ingawa moyoni mwako unahisi kwamba wewe ni mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki