Zaburi 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nimemwomba Yehova jambo moja—Ndilo nitakalolitafuta—Kwamba nikae katika nyumba ya Yehova sikuzote za maisha yangu,+Ili kuutazama uzuri wa YehovaNa kutazama kwa uthamini* hekalu lake.*+ Zaburi 43:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Itume nuru yako na kweli yako.+ Navyo viniongoze;+Viniongoze kwenye mlima wako mtakatifu na kwenye hema lako tukufu la ibada.+ Zaburi 46:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kuna mto ambao vijito vyake hufanya jiji la Mungu lishangilie,+Hema la ibada la Aliye Juu Zaidi lililo takatifu na tukufu.
4 Nimemwomba Yehova jambo moja—Ndilo nitakalolitafuta—Kwamba nikae katika nyumba ya Yehova sikuzote za maisha yangu,+Ili kuutazama uzuri wa YehovaNa kutazama kwa uthamini* hekalu lake.*+
3 Itume nuru yako na kweli yako.+ Navyo viniongoze;+Viniongoze kwenye mlima wako mtakatifu na kwenye hema lako tukufu la ibada.+
4 Kuna mto ambao vijito vyake hufanya jiji la Mungu lishangilie,+Hema la ibada la Aliye Juu Zaidi lililo takatifu na tukufu.