Zaburi 146:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwenye furaha ni yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaidizi wake,+Ambaye anamtumaini Yehova Mungu wake,+ Yeremia 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Amebarikiwa mtu* anayemtumaini Yehova,Ambaye uhakika wake uko katika Yehova.+
5 Mwenye furaha ni yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaidizi wake,+Ambaye anamtumaini Yehova Mungu wake,+ Yeremia 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Amebarikiwa mtu* anayemtumaini Yehova,Ambaye uhakika wake uko katika Yehova.+